Makundi ya Kufuzu AFCON 2027 PAMOJA: Shirikisho la Soka Afrika Confederation of African Football limetangaza rasmi makundi ya kuwania kufuzu michuano ya TotalEnergies CAF Africa Cup of Nations PAMOJA 2027 itakayofanyika kwa pamoja nchini Kenya, Tanzania na Uganda.

Makundi hayo yameleta ushindani mkubwa huku mataifa makubwa ya Afrika yakikutana mapema katika hatua ya kufuzu. Timu ya Tanzania national football team imepangwa kundi K pamoja na Nigeria, Madagascar na Guinea-Bissau katika kundi linalotajwa kuwa na ushindani mkubwa.

Makundi ya Kufuzu AFCON 2027 PAMOJA

Group A

  • Morocco
  • Gabon
  • Niger
  • Lesotho

Group B

  • Egypt
  • Angola
  • Malawi
  • South Sudan

Group C

  • Côte d’Ivoire
  • Ghana
  • The Gambia
  • Somalia

Group D

  • South Africa
  • Guinea
  • Kenya
  • Eritrea

Group E

  • Congo
  • Equatorial Guinea
  • Sierra Leone
  • Zimbabwe

Group F

  • Burkina Faso
  • Benin
  • Mauritania
  • Central African Republic
Makundi ya Kufuzu AFCON 2027 PAMOJA
Makundi ya Kufuzu AFCON 2027 PAMOJA

Group G

  • Cameroon
  • Comoros
  • Namibia
  • Congo

Group H

  • Tunisia
  • Uganda
  • Libya
  • Botswana

Group I

  • Algeria
  • Zambia
  • Togo
  • Burundi

Group J

  • Senegal
  • Mozambique
  • Sudan
  • Ethiopia

Group K

  • Nigeria
  • Madagascar
  • Tanzania
  • Guinea-Bissau

Group L

  • Mali
  • Cape Verde
  • Rwanda
  • Liberia

Kundi la Tanzania linaonekana kuwa moja ya makundi yenye ushindani mkubwa kutokana na uwepo wa Nigeria national football team ambao ni miongoni mwa mataifa yenye nguvu kubwa barani Afrika. Hata hivyo, mashabiki wa Taifa Stars wana matumaini makubwa ya kuona timu hiyo ikipambana na kutafuta nafasi ya kufuzu AFCON 2027.

Kwa upande wa wenyeji wengine, Kenya national football team ipo Kundi D pamoja na South Africa, Guinea na Eritrea, huku Uganda national football team ikiwa Kundi H dhidi ya Tunisia, Libya na Botswana.

Pendekezo la Mhariri:

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *